MKONGWEwa muziki wa dansi na mwimbaji wa bendi ya The
African star, Ally Choki ‘Kamarade’
amepata jiko baada ya kuishi mpweke kutokana na kufiwa na mkewe marehemu Mama
Shuu.
Akizungumza kwa sharti la kutoandikwa jina Gazetini, mmoja
wa karibu na Staa huyo alisema Ally Choki aliamua kufunga ndoa na mwanamke
aliyezaa naye.
“Choki amefunga ndoa na mwanamke aliyekuwa amezaa naye hivi
karibuni ili apate mtu wakumpikia futari,”kilisema chanzo hicho.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni